Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible


1.5 par Version X Studios
Jan 16, 2020 Anciennes versions

À propos de Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible

La Bible en swahili, Ni Biblia Takatifu y a Kiswahili in Agano Jipya na Agano la Kale

Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno la Kigiriki βιβλια, "biblia" ambalo ni wingi wa neno "biblos" yaani "kitabu".

Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania. Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".

Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.

MAANDIKO YA KIGIRIKI YA KIKRISTO

Mathayo

Marko

Luka

Yohana

Matendo

Waroma

1 Wakorintho

2 Wakorintho

Wagalatia

Waefeso

Wafilipi

Wakolosai

1 Wathesalonike

2 Wathesalonike

1 Timotheo

2 Timotheo

Tito

Filemoni

Waebrania

Yakobo

1 Petro

2 Petro

1 Yohana

2 Yohana

3 Yohana

Yuda

Ufunuo

Informations Application supplémentaires

Dernière version

1.5

Telechargé par

Bryan Andree Jaramillo Romero

Nécessite Android

Android 4.4+

Voir plus

Use APKPure App

Get Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible old version APK for Android

Téléchargement

Use APKPure App

Get Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible old version APK for Android

Téléchargement

Alternative à Biblia Ya Kiswahili-Biblia Takatifu,Swahili Bible

Obtenir plus de Version X Studios

Découvrir